Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki na kuhutubia katika Mkutano wa Ngazi ya Juu unaohusu Ukuaji wa Viwanda na Kilimo cha Kisasa Afrika kwenye Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha China mjini Beijing, tarehe 5 Septemba, 2024.
“Diddy” Combs amenyimwa dhamana,atasalia gerezani
-
Mwanamuziki wa muziki wa hip-hop Sean “Diddy” Combs amenyimwa dhamana tena
baada ya mawakili wake kubishana kwa mara ya pili kwamba anapaswa
kuachiliwa k...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment