Baadhi ya wakazi wa Msomela wilayani Handeni mkoani Tanga wakipata elimu ya matumizi ya mitungi ya Taifa Gas kutoka kwa Wataalamu wa Kampuni ya Taifa Gas wakati mafunzo ya nadharia ya siku tatu yaliyoanza leo na yanatarajiwa kumalizika Juamatano.Jumla ya mitungi 1000 ya Taifa Gas inatarajiwa kugawiwa bure kwa wakazi hao katika hafla kubwa itakayofanyika Ijumaa ya Mei 17,2024.
RAIS SAMIA: DIRA YA TAIFA 2050 INAHITAJI TAASISI ZINAZOPIMWA KWA MATOKEO,
SI MAZOEA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema
mafanikio ya utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050 yatat...
5 hours ago







No comments:
Post a Comment