Baadhi ya wakazi wa Msomela wilayani Handeni mkoani Tanga wakipata elimu ya matumizi ya mitungi ya Taifa Gas kutoka kwa Wataalamu wa Kampuni ya Taifa Gas wakati mafunzo ya nadharia ya siku tatu yaliyoanza leo na yanatarajiwa kumalizika Juamatano.Jumla ya mitungi 1000 ya Taifa Gas inatarajiwa kugawiwa bure kwa wakazi hao katika hafla kubwa itakayofanyika Ijumaa ya Mei 17,2024.
WANAJUMUIYA INADES WATAKA KUANZISHWA MIRADI ZAIDI YA KILIMO KUVUTIA VIJANA
KUJIAJIRI
-
Wanajumuiya wa Shirika la INADES Formation Tanzania wamelitaka shirika hilo
kubuni miradi ya kilimo itakayosaidia kuwavutia vijana kuingia katika sekta
h...
13 hours ago







No comments:
Post a Comment