MHE BALOZI OMAR ATETA NA RAIS WA BADEA - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Wednesday, 27 May 2026

MHE BALOZI OMAR ATETA NA RAIS WA BADEA

 

Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiteta jambo na Rais wa Benki ya Kiarabu ya Maendeleo Afrika-BADEA, Bw. Abdullah Kh Almusaibeeh, kando ya Mkutano Mkuu wa 61 wa mwaka 2026 wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Mkutano Mkuu wa 52 wa Mwaka wa Mfuko wa Maendeleo wa Benki hiyo (ADF), unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kintélé, kilichoko nchini Congo Brazzaville.

No comments:

Post a Comment