Taswira ya Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa km 3.0 pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa km 1.66 ambalo limefunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika eneo la Kigongo, Misungwi mkoani Mwanza tarehe 19 Juni, 2025. Daraja hilo ambalo ni sehemu ya barabara ya Usagara-Sengerema-Geita ni sehemu ya barabara kuu inayoanzia Sirari hadi Mtukula na ujenzi wake ulianza rasmi mwezi Februari, 2020.
WANANCHI KATA YA VIZIWAZIWA WAIFAGILIA HUDUMA YA RITA NA CCM KIBAHA MJI
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Wananchi Kata ya Viziwaziwa wamepongeza kwa dhati juhudi zinazofanywa na
Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) Mwalimu Mwajuma...
1 hour ago









No comments:
Post a Comment