RAIS DKT. SAMIA AZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU, - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Sunday, 26 April 2026

RAIS DKT. SAMIA AZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU,

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kuashiria Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu kwenye hafla fupi iliyofanyika katika Makao Makuu ya Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Aprili, 2026.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungusha mfano wa usukani wa Meli kama ishara ya kuruhusu Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu kuondoka katika eneo la Uzinduzi, Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Aprili, 2026

Taswira ya Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu mara baada ya uzinduzi katika Makao Makuu ya Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Aprili, 2026.

Taswira ya Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu mara baada ya uzinduzi katika Makao Makuu ya Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Aprili, 2026.

Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi waliohudhuria hafla ya Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu iliyofanyika katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Aprili, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi waliohudhuria hafla ya Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu iliyofanyika katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Aprili, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuhusu Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu mara baada ya kuwasili katika Makao Makuu ya Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Aprili, 2026.

No comments:

Post a Comment