RAIS DKT. SAMIA AZINDUA MRADI WA MAJI LAMADI MKOANI SIMIYU - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday, 19 June 2025

RAIS DKT. SAMIA AZINDUA MRADI WA MAJI LAMADI MKOANI SIMIYU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kuashiria ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.







Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisikiliza taarifa ya mradi wa maji na usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.
Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi mradi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi Nyashimo, Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.



Viongozi wa dini wakiwa kwenye uzinduzi huo.
 

No comments:

Post a Comment