Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya shukrani kutoka kwa Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso mara baada ya kuweka jiwe la msingi mradi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuwahutubia wananchi wa Nyashimo, Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.
WANANCHI KATA YA VIZIWAZIWA WAIFAGILIA HUDUMA YA RITA NA CCM KIBAHA MJI
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Wananchi Kata ya Viziwaziwa wamepongeza kwa dhati juhudi zinazofanywa na
Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) Mwalimu Mwajuma...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment