Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya shukrani kutoka kwa Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso mara baada ya kuweka jiwe la msingi mradi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuwahutubia wananchi wa Nyashimo, Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.
GS1 TANZANIA YAIMARISHA UTAMBULISHO WA BIDHAA, YACHOCHEA USHINDANI NA
MAGEUZI YA KIDIJITALI
-
Mkurugenzi wa Utafiti Viwanda TRIDO na Muwakilishi wa Mgeni rasmic, Humfrey
Ndosi, katikati akizungumza wakati wa uzinduzi wa miaka 15 ya Gs1 Tanzania, ...
7 minutes ago


No comments:
Post a Comment