Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya shukrani kutoka kwa Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso mara baada ya kuweka jiwe la msingi mradi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuwahutubia wananchi wa Nyashimo, Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.
SITA KIZIMBANI KWA KUTUMIA NIDA ZA WATU KUSAJILIA LINE ZINGINE
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv OFISA Uchunguzi wa Halotel Fabian Kulwa (40)
na wenzane watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
wakikabil...
12 hours ago


No comments:
Post a Comment