Meneja wa Tigo kanda ya kusini Bw. Jensen Msechu pamoja na Meneja mauzo, Tigo BW. Francis Ndada wakimkabidhi mfano wa hundi Wakala na Mshindi wa promosheni ya Tigo Wakala Push Zuena Kyando Kutoka Tunduma.Huyu ni mmoja wa washindi waliofanya vizuri zaidi katika kanda ya kusini.
CHANGAMOTO YA USAFIRI WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KUPUNGUA
-
Na *Munir Shemweta, WANMM*
Changamoto ya usafiri inayowakabili watumishi wa wizara ya ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi sasa inaenda kupungua kufua...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment