Meneja wa Tigo kanda ya kusini Bw. Jensen Msechu pamoja na Meneja mauzo, Tigo BW. Francis Ndada wakimkabidhi mfano wa hundi Wakala na Mshindi wa promosheni ya Tigo Wakala Push Zuena Kyando Kutoka Tunduma.Huyu ni mmoja wa washindi waliofanya vizuri zaidi katika kanda ya kusini.
WADAU WA USAFIRI MAJINI WATOA MAONI KUHUSU ATHARI ZA ONGEZEKO LA BEI YA
MAFUTA
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Wadau wa sekta ya usafiri wa majini katika mikoa ya Mwanza, Kigoma na
Kagera arehe 16 Aprili, 2026 wamejitokeza na kutoa maoni yao...
41 minutes ago





No comments:
Post a Comment