Meneja wa Tigo kanda ya kusini Bw. Jensen Msechu pamoja na Meneja mauzo, Tigo BW. Francis Ndada wakimkabidhi mfano wa hundi Wakala na Mshindi wa promosheni ya Tigo Wakala Push Zuena Kyando Kutoka Tunduma.Huyu ni mmoja wa washindi waliofanya vizuri zaidi katika kanda ya kusini.
MAADILI SERIKALINI: OFISI YA RAIS, UTUMISHI WAIPONGEZA TPSC KWA KUPIKA
WATUMISHI WENYE TIJA
-
MTWARA – Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora imeipongeza Taasisi ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania
(TP...
9 hours ago





No comments:
Post a Comment