DK. KIKWETE AKUTANA NA BALOZI MSTAAFU WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, MARK GREEN - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Monday 7 August 2023

DK. KIKWETE AKUTANA NA BALOZI MSTAAFU WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, MARK GREEN

 

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na  Rais na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Wilson Centre na Balozi  Mstaafu wa Marekani nchini Mhe. Mark Green aliemtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo.

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya kumbukumbu na Rais na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Wilson Centre na Balozi Mstaafu wa Marekani nchini Mhe. Mark Green pamoja na ujumbe wake ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. Wa pili kulia ni  Katibu Kiongozi Mstaafu  Balozi Ombeni Sefue ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation (JMKF) na kulia kabisa ni Dkt. Catherine Sanga Meneja wa Miradi wa JMKF na kushoto kabisa ni Afisa Mtendaji Mkuu wa JMKF  Bi. Vanessa Anyoti.

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi zawadi ya picha waliyopigwa January 13, 2009 (miaka 12)  iliyopita Rais na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Wilson Centre na Balozi Mstaafu wa Marekani nchini Mhe. Mark Green ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. Kushoto kwa balozi ni Mama Suzan Green, mke wa balozi Green.

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na  Rais na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Wilson Centre na Balozi Mstaafu wa Marekani nchini Mhe. Mark Green pamoja na ujumbe wake ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. 

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na  Rais na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Wilson Centre na Balozi Mstaafu wa Marekani nchini Mhe. Mark Green pamoja na ujumbe wake ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. 

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimlaki Rais na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Wilson Centre na Balozi Mstaafu wa Marekani nchini Mhe. Mark Green aliyemtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Katibu Kiongozi Mstaafu Balozi Ombeni Sefue ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation.

No comments:

Post a Comment