WATUMISHI WAPYA SEKTA YA UJENZI WAFUNDWA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Monday 25 October 2021

WATUMISHI WAPYA SEKTA YA UJENZI WAFUNDWA

Afisa Utumishi Mkuu kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Bw. Stanley Madyaga, akiwaasa watumishi wapya wa Sekta hiyo (hawapo pichani), kufanya kazi kwa ubunifu na nidhamu wakati wa semina elekezi iliyofanyika jijini Dodoma.

Afisa Utumishi Mkuu kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Bw. Stanley Madyaga, akiwaasa watumishi wapya wa Sekta hiyo (hawapo pichani), kufanya kazi kwa ubunifu na nidhamu wakati wa semina elekezi iliyofanyika jijini Dodoma.


Baadhi ya watumishi wapya wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), wakifuatilia semia elekezi kutoka kwa mtaalam kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma (hayupo pichani), jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment