MABADILIKO YA KIDIJITALI KUFUNGUA FURSA MPYA SHIRIKA LA POSTA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Wednesday 17 February 2021

MABADILIKO YA KIDIJITALI KUFUNGUA FURSA MPYA SHIRIKA LA POSTA

 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Zainab Chaula na Naibu wake Dkt. Jim Yonazi akimkabidhi kompyuta mpakato kwa mmoja wa Mameneja wa Posta wakati wa kufunga kikao kazi cha Menejimenti na Mameneja wa Mikoa wa Shirika la Posta Tanzania (TPC) jijini Dodoma, akizungumza katika kabla ya kufungwa kikao kazi cha Menejimenti na Mameneja wa Mikoa wa Shirika la Posta Tanzania (TPC) jijini Dodoma. Kulia ni Waziri wa Wizara hiyo Dkt. Faustine Ndugulile  na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Jim Yonazi.

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile akikabidhi kompyuta mpakato kwa Meneja Mkaazi Zanzibar wakati wa kufunga kikao kazi cha Menejimenti na Mameneja wa Mikoa wa Shirika la Posta Tanzania (TPC) jijini Dodoma, kulia Postamasta Mkuu Hassan Mwang’ombe.


Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, akifunga kikao kazi cha Menejimenti na Mameneja wa Mikoa wa Shirika la Posta Tanzania (TPC) jijini Dodoma, kulia ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU) wa pili kushoto ni Katibu Mku wa Wizara hiyo Dkt. Zainab Chaula akifuatiwa na Naibu wake Dkt. Jim Yonazi (kushoto) na Postamasta Mkuu Hassan Mwang’ombe wa pili kulia.


No comments:

Post a Comment