MBUNGE WA USHETU ATOA VITANDA 22 SEKONDARI YA BULUNGWA, KAHAMA - THE HABARII
.com/img/a/
ASAS GROUP
.com/img/a/

Thursday, 29 November 2018

demo-image

MBUNGE WA USHETU ATOA VITANDA 22 SEKONDARI YA BULUNGWA, KAHAMA

2b531eec-81cb-41dc-9c2d-66f2d543d019
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Bulungwa Wilayani Kahama wakifurahia baada ya kukabidhiwa vitanda 22 toka kwa Mbunge wao wa Ushetu ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias John Kwandikwa. Vitanda hivyo vitawawezesha wanafunzi wa kike kukaa bweni na kuwasaidia kusomea katika mazingira rafiki. 

4141ef56-9cda-4eed-ab79-e55cb241430a
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Bulungwa Wilayani Kahama wakifurahia baada ya kukabidhiwa vitanda 22 toka kwa Mbunge wao wa Ushetu ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias John Kwandikwa. Vitanda hivyo vitawawezesha wanafunzi wa kike kukaa bweni na kuwasaidia kusomea katika mazingira rafiki. 

52a61f14-2f3e-44e6-b19a-12871d82b634
Sehemu ya vitanda 22 vilivyotolewa na Mbunge wa Ushetu, Kwandikwa ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Vitanda hivyo vitawawezesha wanafunzi wa kike kukaa bweni na kuwasaidia kusomea katika mazingira rafiki.

Halotel+Mpango+Mzima

1 comment:

  1. blogger_logo_round_35

    Hongera mbunge wa ushetu na naibu waziri wa kilimo hongera unayoyafanya ni makubwa Sana hakika unamoyo wa kusaidia wananchi wako kwani najua kutoa ni moyo sio utajiri

    ReplyDelete

Contact Form

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *