NAIBU WAZIRI KWANDIKWA AKAGUA UJENZI DARAJA DOGO BARABARA YA SHINYANGA –BUBIKI - THE HABARII
.com/img/a/
ASAS GROUP
.com/img/a/

Friday, 30 November 2018

demo-image

NAIBU WAZIRI KWANDIKWA AKAGUA UJENZI DARAJA DOGO BARABARA YA SHINYANGA –BUBIKI

1+%252852%2529
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Elias John Kwandikwa (kushoto), akikagua ujenzi wa daraja dogo katika barabara ya Shinyanga –Bubiki.

2+%252844%2529
Kaimu Meneja wa TANROADS Mhandisi Mibara Ndirimbi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu ujenzi wa kimkakati wa madaraja katika barabara za Salawe- Old Shinyanga na Kahama- Solwa ili kudhibiti mafuriko wakati wa mvua (kulia) ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Elias John Kwandikwa.

3+%252834%2529
Muonekano wa moja ya barabara zinazojengwa kwa kiwango cha lami katika Wilaya ya Kahama, barabara hizo zinatarajiwa kuwa na mifereji ya kuondosha maji katikati ya mji ili kuepuka mafuriko.



Halotel+Mpango+Mzima

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *