| Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari, Deusdedit Kakoko akiwasilisha mada kwa Wahandisi kwenye maadhimisho ya siku ya pili ya Siku ya Wahandisi Tanzania 2018 leo jijini Dar es Salaam. |
| Meza kuu katika uwasilishaji wa mada mbalimbali kwa wahandisi leo ikiwa ni siku ya pili ya Siku ya Wahandisi Tanzania 2018 leo jijini Dar es Salaam. |
| Baadhi ya Wahandisi mbalimbali wakipata huduma za afya katika Kituo cha Moyo cha Jakaya Kikwete (JKCI), kinachoshiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Tanzania 2018 leo jijini Dar es Salaam. |
| Baadhi ya Wahandisi wakichangamkia huduma mbalimbali zinazotolewa na Banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania, TTCL kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Tanzania 2018 leo jijini Dar es Salaam. |

No comments:
Post a Comment