Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Jaji Mstaafu John Samweli Mgetta kuwa Mjumbe wa Baraza la Maadili kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Mei, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mara baada ya tukio la uapisho Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Mei, 2025.
Viongozi wateule
wakiapa Kiapo cha Maadili kwenye hafla ya uapisho iliyofanyika Ikulu Jijini Dar
es Salaam tarehe 24 Mei, 2025.
Viongozi wateule
wakiapa Kiapo cha Maadili kwenye hafla ya uapisho iliyofanyika Ikulu Jijini Dar
es Salaam tarehe 24 Mei, 2025.
Viongozi wateule wakisaini viapo vya Maadili.













No comments:
Post a Comment