WIZARA YA FEDHA YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA NANE NANE JIJINI MBEYA - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday, 3 August 2023

WIZARA YA FEDHA YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA NANE NANE JIJINI MBEYA

 

Mchumi, Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Joseph Msumule (kulia), akitoa elimu ya fedha, kwa wananchi waliotembelea Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nane Nane, yanayofanyika katika viwanja vya John Mwakangale, jijini Mbeya, yaliyobeba kaulimbiu ya “Vijana na Wanawake ndio Msingi Imara wa Mifumo Endelevu ya Chakula Tanzania”.

Mchumi, Idara ya Usimamizi wa Madeni, kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Wagana Kikerero (kulia), akitoa elimu kuhusu usimamizi wa deni la taifa, kwa Bw. Godlisten Mrema (kushoto), aliyetembelea Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nane Nane, yanayofanyika katika viwanja vya John Mwakangale, jijini Mbeya, yaliyobeba kaulimbiu ya “Vijana na Wanawake ndio Msingi Imara wa Mifumo Endelevu ya Chakula Tanzania”.

Mchumi, Idara ya Usimamizi wa Bajeti kutoka Wizara ya Fedha, Bi. Neema Msola (kushoto), akitoa elimu kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na idara hiyo, kwa Bw. Michael Harsory (kulia), aliyetembelea Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nane Nane, yanayofanyika katika viwanja vya John Mwakangale, jijini Mbeya, yaliyobeba kaulimbiu ya “Vijana na Wanawake ndio Msingi Imara wa Mifumo Endelevu ya Chakula Tanzania”.

No comments:

Post a Comment