USHIRIKIANO NA WADAU UTACHOCHEA MIUNDOMBINU BORA NA IMARA KWA ELIMU BORA-KIKWETE - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday 8 August 2023

USHIRIKIANO NA WADAU UTACHOCHEA MIUNDOMBINU BORA NA IMARA KWA ELIMU BORA-KIKWETE

 

Kiwanda cha kutengeneza Marumaru cha KEDA kilichopo Chalinze kikikabidhi Boksi 1750 zenye thamani ya Shilingi Milioni 46 ikiwa ni mchango wao kwa shule za sekondari za Jakaya Mrisho Kikwete na Miono High School.

Kiwanda cha kutengeneza Marumaru cha KEDA kilichopo Chalinze kikikabidhi Boksi 1750 zenye thamani ya Shilingi Milioni 46 ikiwa ni mchango wao kwa shule za sekondari za Jakaya Mrisho Kikwete na Miono High School.

KIWANDA cha kutengeneza Marumaru cha KEDA kilichopo Chalinze kimetoa Boksi 1750 zenye thamani ya Shilingi Milioni 46 ikiwa ni mchango wao kwa shule za sekondari za Jakaya Mrisho Kikwete na Miono High School zilizopo katika halmashauri ya Chalinze.

Akiwashukuru wahisani hao, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora Ndugu Ridhiwani Kikwete amewahasa Wananchi kutunza Mbinu hiyo ili kudumisha shule hizo.

#KaziInaendelea #Keda #Elimu


No comments:

Post a Comment