Mkurugenzi wa Biashara Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Bw. Vedastus Mwita akizungumza kwenye mkutano huo na wahariri na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dar es Salaam. |
Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania, (TTCL), Peter Ulanga akifuatiwa na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile wakiwa kwenye mkutano huo. |
Mkutano wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), waandishi wa habari pamoja na TTCL ukiendelea kwenye Ukumbi wa Mikutano Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere jijini Dar es Salamm. |
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile (kulia) akichangia jambo kwenye mkutano huo. |
Mhariri wa Habari wa Gazeti la Habari Leo, Mgaya Kingoba akizungumza jambo kwenye mkutano huo kati ya TTCL na wahariri na waandishi wa habari. |
Baadhi ya wahariri kutoka Jukwaa la Wahariri Tanzania wakiuliza maswali na kuchangia mada mbalimbali kwenye mkutano huo na TTCL. |
Baadhi ya wahariri kutoka Jukwaa la Wahariri Tanzania wakiuliza maswali na kuchangia mada mbalimbali kwenye mkutano huo na TTCL. |
Baadhi ya wahariri kutoka Jukwaa la Wahariri Tanzania wakiuliza maswali na kuchangia mada mbalimbali kwenye mkutano huo na TTCL. |
Baadhi ya wahariri na waandishi wa habari (kulia) wakipata maelezo mbalimbali kutoka kwa wafanyakazi wa TTCL kabla ya kuanza kwa mkutano huo. |
Baadhi ya wahariri na waandishi wa habari (kushoto) wakipata maelezo mbalimbali kutoka kwa wafanyakazi wa TTCL kabla ya kuanza kwa mkutano huo. |
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile (kulia) akichangia jambo kwenye mkutano huo. |
Mada mbalimbali zikiwasilishwa kwenye mkutano huo. |
Baadhi ya wahariri na waandishi wa habari (kushoto) wakipata maelezo mbalimbali kutoka kwa wafanyakazi wa TTCL kabla ya kuanza kwa mkutano huo. |
Maonesho ya huduma na bidhaa nje ya ukumbi kabla ya kuanza kwa mkutano huo. |
Mkurugenzi wa T-Pesa, Lulu Mkude kutoka TTCL akifafanua jambo kwenye mkutano huo na wahariri na waandishi wa habari. |
Mhariri Lilian Timbuka kutoka gazeti la Mwananchi akijangia mada kwenye mkutano huo. |
No comments:
Post a Comment