PROF. MBARAWA AKAGUA UJENZI BARABARA YA MANYOVU-KASULU KM 56 - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Sunday, 30 July 2023

PROF. MBARAWA AKAGUA UJENZI BARABARA YA MANYOVU-KASULU KM 56

 

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa (wa pili kulia mbele) akikagua ujenzi wa Barabara ya Manyovu - Kasulu KM 56 katika ziara yake.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akisisitiza jambo kwa mkandarasi barabara hiyo ikamilike kwa kiwango cha lami ifikapo Oktoba mwaka huu.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akisisitiza jambo kwa mkandarasi barabara hiyo ikamilike kwa kiwango cha lami ifikapo Oktoba mwaka huu.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa (wa pili kulia mbele) akiendelea kukagua ujenzi wa Barabara ya Manyovu - Kasulu KM 56 katika ziara yake.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa (katikati) akitoa maelekezo alipokuwa akikagua ujenzi wa Barabara ya Manyovu - Kasulu KM 56 katika ziara yake.

No comments:

Post a Comment