DK BASHIRU AZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO CHA CCM KUHUSU HABARI ZA UCHAGUZI MKUU - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Monday 17 August 2020

DK BASHIRU AZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO CHA CCM KUHUSU HABARI ZA UCHAGUZI MKUU


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Bashiru akiwasiliana na Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha, kwa simu iliyopigwa kwenye kompyuta mpakato (Laptop) ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Kituo cha Mawasiliano cha CCM kuhusu Habari za Uchaguzi kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA.

Dk. Bashiru akiangalia picha za wagombea urais kupitia CCM zilizopambwa upenuni mwa kituo hicho. Wagombea hao ni Dk. John Magufuli anayewania urais wa Jamhuri ya Muungano na Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassan pamoja na Mgombea urais Zanzibar,  Hussein Ali Mwinyi.

Katibu Msaidizi Mkuu Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM, Gabriel Athuman akiangalia mpangilio ulivyo ndani ya kituo hicho.

No comments:

Post a Comment