UJENZI WA BARABARA ZA GEITA-KAGERA UKIENDELEA - THE HABARII
.com/img/a/
ASAS GROUP
.com/img/a/

Wednesday, 10 July 2019

demo-image

UJENZI WA BARABARA ZA GEITA-KAGERA UKIENDELEA

1+-+2019-07-10T174828.768
Mhandisi mshauri Thomas Kidane toka kampuni ya SMEC ya Australia akifafanua jambo kwa wahandisi Peter Sikalumba (kushoto), Joyce Mbunju, na Rubara Marandu (kulia) toka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), walipokagua ujenzi wa barabara ya Lusahunga-Ushirombo (km 110), ambayo ujenzi wake unaendelea kwa kiwango cha lami.

2+-+2019-07-10T174850.173
Muonekano wa barabara ya Lusahunga-Ushirombo (km 110), ambayo ujenzi wake kwa kiwango cha lami unaendelea, barabara hiyo ni sehemu ya barabara kuu ya Tinde – Isaka - Rusumo inayounganisha mikoa ya Kagera - Geita na Shinyanga.

3+-+2019-07-10T174910.412
Muonekano wa barabara ya Bwanga- Biharamulo (km 68), ambayo ujenzi wake kwa kiwango cha lami umekamilika, barabara hiyo inaunganisha mkoa wa Kagera na Geita.

4+%252877%2529
Muonekano wa barabara ya Lusahunga-Ushirombo (km 110), ambayo ujenzi wake kwa kiwango cha lami unaendelea, barabara hiyo ni sehemu ya barabara kuu ya Tinde - Isaka- Rusumo inayounganisha mikoa ya Kagera - Geita na Shinyanga.
Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Halotel+Mpango+Mzima

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *