MWANAFUNZI WA SHULE YA KATA AKALIA KITI CHA RAIS - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday, 27 February 2025

MWANAFUNZI WA SHULE YA KATA AKALIA KITI CHA RAIS

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Magila ya Muheza Ester George Barua ambaye alimruhusu akalie kiti chake cha Rais katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Jitegemee Wilayani Muheza mkoani Tanga tarehe 27 Februari, 2025. Mhe. Rais Dkt. Samia alifurahishwa na Mwanafunzi huyo aliyekuwa akielezea mafaniko ya Serikali ya Awamu ya Sita kwa Lugha ya ya Kingereza.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Magila ya Muheza Ester George Barua ambaye alimruhusu akalie kiti chake cha Rais katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Jitegemee Wilayani Muheza mkoani Tanga tarehe 27 Februari, 2025. Mhe. Rais Dkt. Samia alifurahishwa na Mwanafunzi huyo aliyekuwa akielezea mafaniko ya Serikali ya Awamu ya Sita kwa Lugha ya ya Kingereza.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Magila ya Muheza Ester George Barua ambaye alimruhusu akalie kiti chake cha Rais katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Jitegemee Wilayani Muheza mkoani Tanga tarehe 27 Februari, 2025. Mhe. Rais Dkt. Samia alifurahishwa na Mwanafunzi huyo aliyekuwa akielezea mafaniko ya Serikali ya Awamu ya Sita kwa Lugha ya ya Kingereza.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Magila ya Muheza Ester George Barua ambaye alimruhusu akalie kiti chake cha Rais katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Jitegemee Wilayani Muheza mkoani Tanga tarehe 27 Februari, 2025. Mhe. Rais Dkt. Samia alifurahishwa na Mwanafunzi huyo aliyekuwa akielezea mafaniko ya Serikali ya Awamu ya Sita kwa Lugha ya ya Kingereza.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Magila ya Muheza Ester George Barua ambaye alimruhusu akalie kiti chake cha Rais katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Jitegemee Wilayani Muheza mkoani Tanga tarehe 27 Februari, 2025. Mhe. Rais Dkt. Samia alifurahishwa na Mwanafunzi huyo aliyekuwa akielezea mafaniko ya Serikali ya Awamu ya Sita kwa Lugha ya ya Kingereza.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Magila ya Muheza Ester George Barua ambaye alimruhusu akalie kiti chake cha Rais katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Jitegemee Wilayani Muheza mkoani Tanga tarehe 27 Februari, 2025. Mhe. Rais Dkt. Samia alifurahishwa na Mwanafunzi huyo aliyekuwa akielezea mafaniko ya Serikali ya Awamu ya Sita kwa Lugha ya ya Kingereza.



No comments:

Post a Comment