RAIS DK MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA MAADHIMISHO SHEREHE ZA EKARISTI TAKATIFU KANISA LA ST PETR - THE HABARII
.com/img/a/
ASAS GROUP
.com/img/a/

Sunday, 23 June 2019

demo-image

RAIS DK MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA MAADHIMISHO SHEREHE ZA EKARISTI TAKATIFU KANISA LA ST PETR

a+%25281%2529+%25286%2529
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akishiriki katika  Misa ya Maadhimisho ya Sherehe ya Ekaristi Takatifu katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam Jumapili Juni 23, 2019.

a+%25282%2529+%25285%2529
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akishiriki katika  Misa ya Maadhimisho ya Sherehe ya Ekaristi Takatifu katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam Jumapili Juni 23, 2019.

a+%25283%2529+%25286%2529
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Padre Dk. Alister Makubi, Paroko wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam baada ya kushiriki Misa ya Maadhimisho ya Sherehe ya Ekaristi Takatifu kanisani hapo katika Juni 23, 2019. Katikati ni Paroko Msaidizi wa kanisa hilo Padre Paul Haule na Mzee wa Kanisa Dk. Aldehem Meru.

Halotel+Mpango+Mzima

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *