ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO VODACOM - THE HABARII
.com/img/a/
ASAS GROUP
.com/img/a/

Wednesday, 20 February 2019

demo-image

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO VODACOM

Pictorial+03
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (wa pili kushoto) akisikiliza kuhusu utendaji wa kampuni ya Vodacom Tanzania PLC kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, Hisham Hendi (wa pili kulia) alipotembelea makao makuu ya kampuni ya Vodacom mapema leo na kujionea namna ambavyo kampuni hiyo inafanya kazi zake kidijitali. Kushoto ni Naibu Katibu mkuu wa Wizara hiyo, Dr Jim Yonaz na Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote, Mhandisi Peter Ulanga.

Pictorial+04+M-+commerce
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (Katikati) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi (wa kwanza kushoto) wakisikiliza shughuli zinazofanywa na kitengo cha Ufanisi wa mtandao kutoka kwa Mhandisi Pendo Boshe wa kitengo hicho wakati wa ziara ya naibu waziri katika ofisi za Vodacom Tanzania mapema leo, ambapo naibu waziri alijionea namna ambavyo kampuni hiyo inafanya kazi zake kidijitali. 

Pictorial+02+Corporate+DP
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania, Hisham Hendi (kushoto), wakimsikiliza Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom, Rosalynn Mworia akizungumza juu ya utendaji kazi wa kidijitali wa kampuni hiyo  mapema leo kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote, Mhandisi Peter Ulanga. 

Halotel+Mpango+Mzima

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *