Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe akisaini kitabu cha maombolezo mara baada
ya kuwasili Makao makuu ya Baraza la Maaskofu wa kanisa Katoliki Tanzania (TEC)
kuaga mwili wa Marehemu Baba Askofu Evaristo Chengula wa Jimbo kuu la
Mbeya, Ibada iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Immakulata Makao Makuu ya
Baraza hilo Kurasini Jijini Dar es Salaam. Novemba 26,2018.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe akitoa salamu zake za mwisho
kwa mwili wa Marehemu Baba Askofu Evaristo Chengula wa Jimbo kuu la Mbeya, Ibada
iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Immakulata Makao makuu ya Baraza la
Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Kurasini Jijini Dar es
salaam. Novemba 26, 2018.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe akizungumza wakati wa Ibada
ya kuaga mwili wa Marehemu Baba Askofu Evaristo Chengula wa Jimbo kuu la
Mbeya,Ibada iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Immakulata Makao makuu ya
Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Kurasini Jijini Dar es
salaam.Novemba 26,2018.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe akipongezwa mara baada ya
kutoa salamu za rambirambi na Makamu wa Rais wa baraza la Maaskofu wa Kanisa
katoliki Baba Askofu Dk. Flavian Kasalla wakati wa Ibada ya kuaga mwili wa
Marehemu Baba Askofu Evaristo Chengula wa Jimbo kuu la Mbeya,iliyofanyika katika
kanisa la Mtakatifu Immakulata Makao makuu ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa
Katoliki Tanzania (TEC) Kurasini Jijini Dar es salaam.Novemba 26,2018.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu
Benjamini Mkapa, Mama Anna Mkapa pamoja na Maaskofu, Mapadre, Masista na
Waumini wenginne wakati ibada ikiendelea ya kuaga mwili wa Marehemu Baba Askofu
Evaristo Chengula wa Jimbo kuu la Mbeya, iliyofanyika katika kanisa la
Mtakatifu Immakulata Makao makuu ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki
Tanzania (TEC) Kurasini Jijini Dar es salaam.Novemba 26, 2018.
RAIS
MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU BABA ASKOFU CHENGULA.
WAZIRI MKUU AMPONGEZA MKURUGENZI KONDOA MJI
-
Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Lameck Nchemba amempongeza Mkurugenzi wa
Halmashauri ya Mji wa Kondoa, Said Majaliwa kwa usimamizi, utekelezaji wa
mradi wa ujenz...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
No comments:
Post a Comment