𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐙𝐔𝐍𝐆𝐌𝐙𝐀 𝐍𝐀 𝐁𝐀𝐋𝐎𝐙𝐈 𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐒𝐑𝐈 𝐀𝐋𝐈𝐘𝐄𝐌𝐀𝐋𝐈𝐙𝐀 𝐌𝐔𝐃𝐀 𝐖𝐀𝐊𝐄 - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Friday, 28 August 2026

𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐙𝐔𝐍𝐆𝐌𝐙𝐀 𝐍𝐀 𝐁𝐀𝐋𝐎𝐙𝐈 𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐒𝐑𝐈 𝐀𝐋𝐈𝐘𝐄𝐌𝐀𝐋𝐈𝐙𝐀 𝐌𝐔𝐃𝐀 𝐖𝐀𝐊𝐄

 Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Sherif Ismail, Balozi wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri anayemaliza muda wake nchini Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Agosti, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mhe. Sherif Ismail, Balozi wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri anayemaliza muda wake nchini Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Agosti, 2026.

No comments:

Post a Comment