BALOZI OMAR AWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI 2026/27 HADI 2028/2029 - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Monday, 2 February 2026

BALOZI OMAR AWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI 2026/27 HADI 2028/2029

 

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bw. Elijah Mwandumbya (wa kwanza kushoto mstari wa pili juu) na viongozi wengine wakifuatilia uwasilishaji wa Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali katika kipindi cha muda wa kati kwa mwaka 2026/2027 hadi 2028/2029, bungeni, jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akiteta jambo na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya, baada ya kuwasilishwa Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali katika kipindi cha muda wa kati kwa mwaka 2026/2027 hadi 2028/2029, bungeni Dodoma.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya, wakifuatilia uwasilishaji wa Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali katika kipindi cha muda wa kati kwa mwaka 2026/2027 hadi 2028/2029, bungeni Dodoma

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akiwasilisha mezani hati bungeni Dodoma kuhusu Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali katika kipindi cha muda wa kati kwa mwaka 2026/2027 hadi 2028/2029.

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) akiwasilisha bungeni Dodoma Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali katika kipindi cha muda wa kati kwa mwaka 2026/2027 hadi 2028/2029.

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) akiwasilisha bungeni Dodoma Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali katika kipindi cha muda wa kati kwa mwaka 2026/2027 hadi 2028/2029.

Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akiteta jambo na Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), kabla ya kuwasilishwa kwa Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali katika kipindi cha muda wa kati kwa mwaka 2026/2027 hadi 2028/2029, bungeni Dodoma.

No comments:

Post a Comment