MGOMBEA WA CCM DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KYAKA MKOANI KAGERA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday, 16 October 2025

MGOMBEA WA CCM DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KYAKA MKOANI KAGERA

MGOMBEA WA CCM DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KYAKA MKOANI KAGERA

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kyaka katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Kagera tarehe 15 Oktoba, 2025.

Sehemu ya Wananchi wa Kyaka mkoani Kagera waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 15 Oktoba, 2025.

Sehemu ya Wananchi wa Kyaka mkoani Kagera waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 15 Oktoba, 2025.

Sehemu ya Wananchi wa Kyaka mkoani Kagera waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 15 Oktoba, 2025.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa Kyaka katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Kagera tarehe 15 Oktoba, 2025.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwakabidhi Ilani ya Uchaguzi baadhi ya wagombea Ubunge wa Majimbo mbalimbali Mkoa wa Kagera mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Muleba mkoani humo tarehe 15 Oktoba, 2025.


No comments:

Post a Comment