NCHI ZA AFRIKA ZAJADILI KUKUZA MAPATO YA NDANI KUEPUKA UTEGEMEZI WA MISAADA NA MIKOPO KUTOKA NJE - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday, 16 October 2025

NCHI ZA AFRIKA ZAJADILI KUKUZA MAPATO YA NDANI KUEPUKA UTEGEMEZI WA MISAADA NA MIKOPO KUTOKA NJE

 

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwakabidhi Ilani ya Uchaguzi baadhi ya wagombea Ubunge wa Majimbo mbalimbali Mkoa wa Kagera mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Muleba mkoani humo tarehe 15 Oktoba, 2025.

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, DKT. Natu El-maamry Mwamba (kushoto) na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba, wakiteta jambo wakati wa Mkutano wa 52 wa Kundi la Kwanza la nchi za Afrika (Africa Group 1 Constituency Policy Dialogue), uliofanyika pembezoni mwa Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa IMF na Benki ya Dunia, Jijini Washington D.C, nchini Marekani ambapo Nchi 14 za Afrika za Sub-Sahara za Kundi la Kwanza ambazo ni wanachama wa Shirika hilo zilikubaliana kuimarisha mikakati ya kukuza uwekezaji kutoka sekta binafsi na kuimarifa mifumo ya makusanyo ya mapato ya ndani katika nchi zao ili kukabiliana na changamoto ya kupungua kwa fursa za mikopo na misaada kutoka kwa washirika wa maendeleo.

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, DKT. Natu El-maamry Mwamba (kushoto) na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba, wakifuatilia jambo wakati wa Mkutano wa 52 wa Kundi la Kwanza la nchi za Afrika (Africa Group 1 Constituency Policy Dialogue), uliofanyika pembezoni mwa Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa IMF na Benki ya Dunia, Jijini Washington D.C, nchini Marekani ambapo Nchi 14 za Afrika za Sub-Sahara za Kundi la Kwanza ambazo ni wanachama wa Shirika hilo zilikubaliana kuimarisha mikakati ya kukuza uwekezaji kutoka sekta binafsi na kuimarifa mifumo ya makusanyo ya mapato ya ndani katika nchi zao ili kukabiliana na changamoto ya kupungua kwa fursa za mikopo na misaada kutoka kwa washirika wa maendeleo.

No comments:

Post a Comment