RAIS SAMIA AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA COMORO JIJINI MORONI - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Sunday, 6 July 2025

RAIS SAMIA AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA COMORO JIJINI MORONI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali waliohudhuria Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro katika uwanja wa Malouzini  Jijini Moroni tarehe 06 Julai, 2025.Matukio mbalimbali wakati wa Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro katika uwanja wa Malouzini Jijini Moroni tarehe 06 Julai, 2025.Burudani ya ngoma ikitolewa

Matukio mbalimbali wakati wa Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro katika uwanja wa Malouzini Jijini Moroni tarehe 06 Julai, 2025.





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro kwenye Sherehe hiyo. 

Matukio mbalimbali wakati wa Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro katika uwanja wa Malouzini Jijini Moroni tarehe 06 Julai, 2025.




 

No comments:

Post a Comment