1. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais
(Muungano na Mazingira) Mha. Cyprian Luhemeja (mwenye miwani) akiongea na
baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Uratibu wa zoezi la kukabiliana na
Gugumaji Ziwa Victoria alipotembelea kuona namna zoezi hilo linavyoendelea eneo
la Busisi Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, Juni 7, 2025.
1.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais
(Muungano na Mazingira) Mha. Cyprian Luhemeja (mwenye miwani) akielezea jambo
kwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Uratibu wa zoezi la kukabiliana
na Gugumaji Ziwa Victoria alipotembelea kuona namna zoezi hilo linavyoendelea
eneo la Busisi Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, Juni 7, 2025.
1.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais
(Muungano na Mazingira) Mha. Cyprian Luhemeja (mwenye miwani) akikagua
maendeleo ya ukataji Gugumaji Ziwa Victoria eneo la Busisi wilayani Sengerema
mkoani Mwanza akiwa pamoja na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Uratibu
wa zoezi la kukabiliana na Gugumaji Ziwa Victoria, Juni 7, 2025.





No comments:
Post a Comment