RAIS MHE. DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI GEITA WAKATI AKIFUNGA MAONESHO YA SABA YA TEKNOLOJIA NA UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA MADINI MKOANI - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Sunday 13 October 2024

RAIS MHE. DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI GEITA WAKATI AKIFUNGA MAONESHO YA SABA YA TEKNOLOJIA NA UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA MADINI MKOANI

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati akifuatilia matukio kwenye  mkutano wa kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini Mkoani Geita tarehe 13 Oktoba, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde kabla ya kuhutubia wananchi pamoja na kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye sekta ya madini yaliofanyika Mkoani Geita tarehe 13 Oktoba, 2024.

Viongozi pamoja Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Geita wakiwa kwenye mkutano wa kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini Mkoani humo tarehe 13 Oktoba, 2024.

Viongozi pamoja Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Geita wakiwa kwenye mkutano wa kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini Mkoani humo tarehe 13 Oktoba, 2024.

Viongozi pamoja Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Geita wakiwa kwenye mkutano wa kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini Mkoani humo tarehe 13 Oktoba, 2024.

Viongozi pamoja Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Geita wakiwa kwenye mkutano wa kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini Mkoani humo tarehe 13 Oktoba, 2024.

Viongozi pamoja Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Geita wakiwa kwenye mkutano wa kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini Mkoani humo tarehe 13 Oktoba, 2024.

Viongozi pamoja Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Geita wakiwa kwenye mkutano wa kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini Mkoani humo tarehe 13 Oktoba, 2024.

Viongozi pamoja Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Geita wakiwa kwenye mkutano wa kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini Mkoani humo tarehe 13 Oktoba, 2024.

Viongozi pamoja Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Geita wakiwa kwenye mkutano wa kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini Mkoani humo tarehe 13 Oktoba, 2024.

Viongozi pamoja Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Geita wakiwa kwenye mkutano wa kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini Mkoani humo tarehe 13 Oktoba, 2024.

Viongozi pamoja Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Mkoani Geita wakiwa kwenye mkutano wa kufunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini Mkoani humo tarehe 13 Oktoba, 2024.

No comments:

Post a Comment