RAIS DKT. SAMIA AHUTUBIA WANANCHI KILELE CHA TAMASHA LA KIZIMKAZI UWANJA WA MWEHE, KUSINI UNGUJA -ZANZIBAR - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Sunday 25 August 2024

RAIS DKT. SAMIA AHUTUBIA WANANCHI KILELE CHA TAMASHA LA KIZIMKAZI UWANJA WA MWEHE, KUSINI UNGUJA -ZANZIBAR

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa kilele cha Tamasha la Kizimkazi katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.



Shamrashamra wakati wa Kilele cha Tamasha la Kizimkazi lililofanyika katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.

Shamrashamra wakati wa Kilele cha Tamasha la Kizimkazi lililofanyika katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Viongozi, wageni mbalimbali pamoja na Wananchi wakati wa kilele cha Tamasha la Kizimkazi katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.


Kikundi cha Shomoo kutoka Kizimkazi kikitumbuiza wakati wa Kilele cha Tamasha la Kizimkazi katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.

Wasanii mbalimbali wakitumbuiza wakati wa Kilele cha Tamasha la Kizimkazi lililofanyika katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.

Viongozi mbalimbali waliohudhuria kwenye Kilele cha Tamasha la Kizimkazi lililofanyika katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.

Viongozi mbalimbali waliohudhuria kwenye Kilele cha Tamasha la Kizimkazi lililofanyika katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.

Viongozi mbalimbali waliohudhuria kwenye Kilele cha Tamasha la Kizimkazi lililofanyika katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa kilele cha Tamasha la Kizimkazi katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa kilele cha Tamasha la Kizimkazi katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.

Wasanii mbalimbali wakiwa kwenye Kilele cha Tamasha la Kizimkazi lililofanyika katika uwanja wa Mwehe, Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 25 Agosti, 2024.

No comments:

Post a Comment