RAIS SAMIA AHUDHURIA HAFLA YA THE CITIZEN RISING WOMAN KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI JIJINI DAR - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Friday, 8 March 2024

RAIS SAMIA AHUDHURIA HAFLA YA THE CITIZEN RISING WOMAN KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI JIJINI DAR

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited (MCL) Bakari Machumu wakati wa hafla ya The Citizen Rising katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2024.

Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla The Citizen Rising Woman iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki kwenye Maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi pamoja na viongozi wengine wakati wa hafla ya The Citizen Rising Woman iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2024.

Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla The Citizen Rising Woman iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki kwenye Maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2024.

Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla The Citizen Rising Woman iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki kwenye Maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2024.

Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla The Citizen Rising Woman iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki kwenye Maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2024.

Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla The Citizen Rising Woman iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki kwenye Maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2024.

No comments:

Post a Comment