RAIS SAMIA AWEKA MASHADA MNARA WA KUMBUKUMBU YA WAPIGANIA UHURU NA KABURI LA HAYATI KENNETH KAUNDA, LUSAKA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday 24 October 2023

RAIS SAMIA AWEKA MASHADA MNARA WA KUMBUKUMBU YA WAPIGANIA UHURU NA KABURI LA HAYATI KENNETH KAUNDA, LUSAKA

 

Matukio mbalimbali katika maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Taifa la Zambia katika mnara wa kumbukumbu ya Wapigania Uhuru wa Taifa la Zambia uliopo Mtaa wa Uhuru Jijini Lusaka. Zambia inaadhimisha miaka 59 ya Uhuru wa nchi hiyo tarehe 24 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania na Zambia ukiimbwa mara baada ya kuwasili kwenye eneo la Mnara wa Kumbukumbu ya Wapigania Uhuru (Mashujaa) wa nchi hiyo kwenye maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa nchi hiyo, Mtaa wa Uhuru Jijini Lusaka tarehe 24 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania na Zambia ukiimbwa mara baada ya kuwasili kwenye eneo la Mnara wa Kumbukumbu ya Wapigania Uhuru (Mashujaa) wa nchi hiyo kwenye maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa nchi hiyo, Mtaa wa Uhuru Jijini Lusaka tarehe 24 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania na Zambia ukiimbwa mara baada ya kuwasili kwenye eneo la Mnara wa Kumbukumbu ya Wapigania Uhuru (Mashujaa) wa nchi hiyo kwenye maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa nchi hiyo, Mtaa wa Uhuru Jijini Lusaka tarehe 24 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania na Zambia ukiimbwa mara baada ya kuwasili kwenye eneo la Mnara wa Kumbukumbu ya Wapigania Uhuru (Mashujaa) wa nchi hiyo kwenye maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa nchi hiyo, Mtaa wa Uhuru Jijini Lusaka tarehe 24 Oktoba, 2023.

No comments:

Post a Comment