RFB YAJIPANGA KUFIKIA MALENGO - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Wednesday 23 August 2023

RFB YAJIPANGA KUFIKIA MALENGO

 

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Eng. Godfrey Kasekenya, akisisitiza jambo kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakati Bodi ya Mfuko wa Barabara (RFB) ilipowasilisha taarifa ya utendaji kazi,Bungeni Jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Eng. Godfrey Kasekenya, akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa Bodi ya Mfuko wa barabara nchini (RFB), kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, jijini Dodoma leo.

No comments:

Post a Comment