Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya ufunguzi wa hoteli ya Kitalii iitwayo Kwanza iliyopo Kizimkazi Zanzibar Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023. |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi (hawaonekani pichani) mara baada ya kuzindua mradi wa Maji wa Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar. |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi (hawaonekani pichani) mara baada ya kuzindua mradi wa Maji wa Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar. |
Taswira ya Mradi wa Maji Kizimkazi kama unavyoonekana pichani mara baada ya uzinduzi tarehe 29 Agosti, 2023 katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi. |
No comments:
Post a Comment