| Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa gati la Ujiji ambalo ujenzi wake umefikia asilimia zaidi ya 80 na linatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu, Mkoani Kigoma. |
| Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa gati la Kibirizi lenye urefu wa takribani mita 259 ambalo ujenzi wake umefikia asilimia zaidi ya 80. Mkoani Kigoma. |
| Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa akiangalia maendeleo ya ujenzi wa mradi wa gati la Kibirizi Mkoani Kigoma. |

No comments:
Post a Comment