![]() |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima lililoandaliwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma tarehe 10 Julai, 2023. |
Mbunge wa Ulanga Aomba Serikali Kujenga Barabara ya Lupiro–Mahenge
-
Na Farida Mangube
Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Salim Alaudin Hashim, ameiomba Serikali
kuharakisha ujenzi wa kipande cha barabara ya Lupiro–Mahenge, akis...
9 hours ago
.jpg)

.jpg)





.jpg)
.jpg)

No comments:
Post a Comment