Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Katibu Mtendaji wa Chama cha Udhibiti wa Nishati kwa Afrika Mashariki Geoffrey Mabea Hati ya umiliki wa Ardhi yenye ukubwa wa ekari 4 kwa ajili ya matumizi ya Chama hicho katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Ndogo ya Arusha tarehe 03 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mwanachama Mkazi wa Baraza la Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki (EALS) Moses Mahuna Hati ya umiliki wa Ardhi yenye ukubwa wa ekari 5 bure kwa ajili ya matumizi ya Chama hicho cha Wanasheria kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu Ndogo ya Arusha tarehe 03 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Biashara la Afrika Mashariki (EABC) John Bosco Kalisa Hati ya umiliki wa Ardhi yenye ukubwa wa ekari 3 bure bila malipo yoyote kwa ajili ya Baraza hilo Jijini Arusha tarehe 03 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Peter Mathuki Hati ya Umiliki wa Ardhi yenye ukubwa wa ekari 125 bure bila malipo yoyote kwa ajili ya Jumuiya hiyo mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Ndogo ya Arusha tarehe 03 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Peter Mathuki Hati ya Umiliki wa Ardhi yenye ukubwa wa ekari 125 bure bila malipo yoyote kwa ajili ya Jumuiya hiyo mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Ndogo ya Arusha tarehe 03 Machi, 2023.
MASOKO YA MADINI TANZANIA: UWAZI, FURSA, UTAJIRI
-
*Na Wizara ya Madini*
*Kabla ya mwaka 2019, biashara ya madini ya dhahabu na vito nchini
Tanzania, hususan kwa wachimbaji wadogo na wafanyabiashara, ilifan...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
No comments:
Post a Comment