SEKTA YA UJENZI YAAGIZWA KUSIMAMIA TAASISI ZAKE - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday 19 January 2023

SEKTA YA UJENZI YAAGIZWA KUSIMAMIA TAASISI ZAKE

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mheshimiwa Selemani Kakoso, akisisitiza  jambo kwa viongozi na watendaji wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi) (hawapo pichani), mara baada ya kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayoendelea kwa mwaka wa fedha 2022/23, jijini Dodoma.


Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Eng. Godfrey Kasekenya, akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya Sekta ya Ujenzi kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, jijini Dodoma.


Baadhi ya Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu na Viongozi wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), wakifatilia kwa makini taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kutoka kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Eng. Godfrey Kasekenya, wakati akiwasilisha kwa Kamati hiyo, jijini Dodoma.

Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ambaye ni Mbunge Jimbo la Gairo Mheshimiwa Ahmed Shabiby, akichangia hoja wakati wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), ikiwasilisha taarifa ya utekelezaji kwa Kamati hiyo, jijini Dodoma.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ambaye ni Mbunge Jimbo la Same Mheshimiwa Anne Kilango, akichangia hoja wakati wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi) ikiwasilisha taarifa ya utekelezaji kwa Kamati hiyo, jijini Dodoma.



No comments:

Post a Comment