Afisa Mikopo Mkuu wa HESLB, Tuli Madhehebi akimhudumia mmoja wa wateja waliotembelea Banda la HESLB Julai 7, 2021 katika maonesho ya 45 ya biashara ya kimataifa Dar es Salaam (DITF) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere.
Afisa Mikopo wa HESLB, Nicolaus Kasamia akiwasiliza wateja mbalimbali waliotembelea Banda la HESLB Julai 7, 2021 katika maonesho ya 45 ya biashara ya kimataifa Dar es Salaam (DITF) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere.
Maafisa Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi ya Elimu Juu (HESLB), Rosada Fredrick na Nicolaus Kasamia wakitoa ufafanuzi kwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Atlas ya Ubungo Jijini Dar es Salaam wakati walipotembelea banda la HESLB Julai 7, 2021 katika Maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DITF) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere.
Cary Purry Sloti Mpya Rahisi Kushinda Meridianbet
-
HUENDA umewahi kuona au kusikia stori nyingi kuhusu paka, Meridianbet
kasino ya mtandaoni inakuletea mkutano na paka wa kuvutia wanaowapa
wachezaji z...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
WATAFITI UDSM WAZUNGUMZA NA VIONGOZI WA TBN
-
*Wataalam kutola Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) waliotembelea Tanzania
Bloggers Network (TBN)kutoka kushoto, Dkt.Said Suluo, Dkt. Patrokil Kanje
na ...
No comments:
Post a Comment