UJENZI MJI WA SERIKALI MTUMBA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday 6 July 2021

UJENZI MJI WA SERIKALI MTUMBA

 

Katibu wa kuratibu Serikali kuhamia Dodoma na ujenzi wa Mji wa Serikali Meshack Bandawe akiongoza kikao cha Timu ya wataalam wanaosimamia ujenzi wa miundombinu ya kudumu ya Mji wa Serikali inayohusu maji safi na maji taka,umeme, Mawasiliano, usalama, Majengo Marefu ya Wizara awamu ya pili, barabara za lami, Zimamoto na uokoaji, Gesi na upandaji miti na mandhari Itakayojengwa juu na chini ya Ardhi Mtumba Mkoani Dodoma.

No comments:

Post a Comment