RAIS MHE. SAMIA AZINDUA KITABU CHA HISTORIA YA RAIS MSTAAFU MZEE ALI HASSAN MWINYI JIJINI DAR ES SALAAM - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday, 8 May 2021

RAIS MHE. SAMIA AZINDUA KITABU CHA HISTORIA YA RAIS MSTAAFU MZEE ALI HASSAN MWINYI JIJINI DAR ES SALAAM

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akinyanyua juu Kitabu cha Historia ya Maisha ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi mara baada ya kukizindua katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre Jijini Dar es Salaam leo tarehe 08 Mei, 2021.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akikata utepe ili kuzindua Kitabu cha Historia ya Maisha ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre Jijini Dar es Salaam leo tarehe 08 Mei, 2021.




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Gari Jipya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi pamoja na Mkewe Mama Sitti Mwinyi mara baada ya kuzindua Kitabu chake cha Historia ya Maisha yake ili liweze kumsaidia katika shughuli mbalimbali za usafiri.





Picha namba 4. Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akinyanyua juu Kitabu cha Historia ya Maisha yake mara baada ya kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan



Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akizungumza na viongozi mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa Kitabu chake cha Historia ya Maisha yake katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre.



Hafla ya uzinduzi wa Kitabu cha Historia ya Maisha ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre Jijini Dar es Salaam ikiendelea.




No comments:

Post a Comment