KATIBU MKUU KIONGOZI, BALOZI JOHN KIJAZI, AFARIKI DUNIA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday 18 February 2021

KATIBU MKUU KIONGOZI, BALOZI JOHN KIJAZI, AFARIKI DUNIA

Balozi John Kijazi.

KATIBU Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Tanzania, Balozi John Kijazi, amefariki dunia. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Ikulu Dodoma imesema Balozi Kijazi amefariki dunia usiku wa saa tatu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma alipokuwa amelazwa kwa matibabu.

Taarifa zaidi hii hapa:-



No comments:

Post a Comment