![]() |
Mabregedia Jenerali wa JWTZ wakishuhudia Jeneza lenye Mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa likishushwa kaburini Lupaso Masasi mkoani Mtwara.
|
![]() |
Mabregedia Jenerali wa JWTZ wanaobeba Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapamwili wakipiga saluti kabla ya mwili kushushwa kaburini. |
No comments:
Post a Comment