MWANASHERIA MKONGWE DK LAMWAI AFARIKI DUNIA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday 5 May 2020

MWANASHERIA MKONGWE DK LAMWAI AFARIKI DUNIA

Dkt. Masumbuko Lamwai.

MWANASHERIA na mwanasiasa mkongwe Dkt. Masumbuko Lamwai afariki dunia usiku wa kuamkia leo. Dk. Lamwai aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo na mbunge wa kuteuliwa na rais. Taarifa zaidi ni hapo baadaye..

No comments:

Post a Comment