UJUMBE TIMU YA PAMBA WAMTEMBELEA WAZIRI MWAKYEMBE DODOMA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday 25 April 2020

UJUMBE TIMU YA PAMBA WAMTEMBELEA WAZIRI MWAKYEMBE DODOMA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akipokea Jezi ya Timu ya Pamba ya jijini Mwanza kutoka kwa Mwenyekiti wa timu hiyo inayoshiriki ligi ya daraja la kwanza kundi B Aleem Alibah (kushoto) alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dodoma. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiongea na ugeni wa timu ya  Pamba ya jijini Mwanza walipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni Mbunge wa Nyamagana jijini humo Stanslaus Mabula, Mwenyekiti wa timu hiyo Aleem Alibah (wa pili kushoto) na Afisa Habari wa timu hiyo Abdalah Hassan Chauss (wa kwanza kushoto).
(Picha na Eleuteri Mangi-WHUSM, Dodoma)


No comments:

Post a Comment