Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiongea na ugeni wa timu ya Pamba ya jijini Mwanza walipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni Mbunge wa Nyamagana jijini humo Stanslaus Mabula, Mwenyekiti wa timu hiyo Aleem Alibah (wa pili kushoto) na Afisa Habari wa timu hiyo Abdalah Hassan Chauss (wa kwanza kushoto).
(Picha na Eleuteri Mangi-WHUSM, Dodoma)
|
ORYX, DORRIS MOLLEL FOUNDATION WAGAWA MITUNGI YA GESI KWA WAUGUZI 200
CHALINZE
-
KAMPUNI ya Gesi ya Oryx kwa kushirikiana na Dorice Mollel Foundation
wamegawa mitungi ya gesi ya kupikia 200 pamoja na majiko yake kwa wauguzi
200 katika...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment