![]() |
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiongea na ugeni wa timu ya Pamba ya jijini Mwanza walipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni Mbunge wa Nyamagana jijini humo Stanslaus Mabula, Mwenyekiti wa timu hiyo Aleem Alibah (wa pili kushoto) na Afisa Habari wa timu hiyo Abdalah Hassan Chauss (wa kwanza kushoto).
(Picha na Eleuteri Mangi-WHUSM, Dodoma)
|
DKT. NSEKELA: SHAHADA YA UZAMIVU INAYOAKISI MAGEUZI YA CRDB
-
*Na Mwandishi Wetu, Pretoria*
*Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Abdulmajid Mussa Nsekela,
ametunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD) kutoka Chuo Kikuu ...
5 hours ago



No comments:
Post a Comment