![]() |
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiongea na ugeni wa timu ya Pamba ya jijini Mwanza walipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni Mbunge wa Nyamagana jijini humo Stanslaus Mabula, Mwenyekiti wa timu hiyo Aleem Alibah (wa pili kushoto) na Afisa Habari wa timu hiyo Abdalah Hassan Chauss (wa kwanza kushoto).
(Picha na Eleuteri Mangi-WHUSM, Dodoma)
|
DKT.MIGIRO AIMARISHA USHIRIKIANO KIMATAIFA NA MABALOZI WA CUBA, VIETNAM, NA
UN
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi, Dkt. Asha-Rose Migiro,
kwa nyakati tofauti amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili
wanaoziwa...
5 minutes ago



No comments:
Post a Comment