TANZANIA YATHIBITISHA WAGONJWA 19 WA VIRUSI VYA CORONA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Monday, 30 March 2020

TANZANIA YATHIBITISHA WAGONJWA 19 WA VIRUSI VYA CORONA

Waziri wa Afya Tanzania Ummy Mwalimu


Wizara ya Afya nchini Tanzania leo Jumatatu Machi 30, imetangaza wagonjwa wapya watano wa virusi vya corona hali inayofikisha idadi ya wagonjwa nchini humo kufikia 19. Kati yao watatu (3) kutoka Dar ES Salaam na wawili (2) kutoka Zanzibar.


No comments:

Post a Comment