WENYEVITI WAPYA WA VIJIJI NA VITONGOJI JIMBO LA KISESA MKOA WA SIMIYU WAAPISHWA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Sunday 1 December 2019

WENYEVITI WAPYA WA VIJIJI NA VITONGOJI JIMBO LA KISESA MKOA WA SIMIYU WAAPISHWA

 Wenyeviti wa Vijiji, Vitongoji na wajumbe wao kutoka Jimbo la Kisesa wilayani Meatu Mkoa wa Simiyu wakila kiapo cha utii  kwenye hafla iliyofanyika Mwandoya Makao Makuu ya Jimbo la Kisesa.
 Wenyeviti wote wa Vijiji vya Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya kuapishwa.

 Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Ikigijo Kata ya Mwabusalu Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo.

 Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Itinje Kata ya Itinje Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo.

  Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Lingeka  Kata ya Lingeka Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo.

 Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha  Matale Kata ya Tindabuligi Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo.

 Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha  Mbugayabanya Kata ya  Mbugayabanya Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo.

 Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Mwashata  Kata ya  Mwabuma Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo.

 Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Ntobo  Kata ya Kisesa  Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo.

  Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Nyanza  Kata ya Mwakisandu  Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo.

Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha Semu  Kata ya Isengwa  Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo.



Wajumbe wa Serikali ya Kijiji cha  Ming’ongwa Kata ya Sakasaka  Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu baada ya kula kiapo.

No comments:

Post a Comment